Thursday, November 13, 2014

Taarifa. Taarifa. Taarifa.

Kwa jasiri skauti (Rover's scout) wote tuna waalika kushiriki jukwaa la vijana la kanda ya Afrika Mashariki litakalo fanyika huko Kigali, nchini Rwanda,kuanzia 27 Nov hadi 31 Nov kwa maelezo na watakao kuwa tayari kushiriki tafadhali wasiliana na Mwenyekiti au Katibu mkuu wa Jukwaa la vijana Tanzania.

No comments:

Post a Comment