Wednesday, April 16, 2014

MAAFA MOROGORO

BAADA YA MAAFA YA LIYO TOKEA UKO MORO JE ? SKAUTI TULIFANIKIWA KWA KIASI GANI KUHAKIKISHA TUNAOKOA MAISHA YA WATU!
Picha za matukio ya maafa morogoro na tathmini.
8 April via HTC Sense
Murtadhwa El Bahsan's photo.
Baasda ya kuokoa baadhi ya wahanga wa maji na kupelekekwa kwenye hifadhi kwa ajili ya kupewa huduza za kijamii( kushoto ni kamishna wa skauti mratibu wa maafa taifa na mkoa kamishna juma masudi na kati na kulia ni watoo aambao pia ni waanga wa maafa huko morogoro wakisaidiana kufanya usafi katika kambi ya maafa.kichwa

Murtadhwa El Bahsan's photo.
Murtadhwa El Bahsan's photo.
Baasda ya kuokoa baadhi ya wahanga wa maji na kupelekekwa kwenye hifadhi kwa ajili ya kupewa huduza za kijamii( kushoto ni kamishna wa skauti mratibu wa maafa taifa na mkoa kamishna juma masudi na kati na kulia ni watoo aambao pia ni waanga wa maafa huko morogoro wakisaidiana kufanya usafi katika kambi ya maafa.
Murtadhwa El Bahsan's photo.
kamisha mkuu wa kikosi cha maafa taifa kamishna juma masudi akiwa anatoa maelezo ya juu ya athari za maafa

No comments:

Post a Comment